Ads Here

Friday, 27 December 2019

Daktari aliyekuwa anashikiliwa kwa kesi ya kutoa mimba ahukumiwa kwa kosa la uhujumu uchumi

Daktari aliyekuwa anashikiliwa kwa kosa la kutoa mimba za wanawake zaidi ya 20 ahukumiwa kwa kosa la uhujumu uchumi. Daktari huyo kutoka Dental Clinic iliyopo sinza mwenye umri wa miaka 40 Awadhi Juma na muuguzi mmoja wamefikishwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la ubadhilifu wa fedha  za akina mama 260000

Chanzo : Mwanachi Publisherz

No comments:

Post a Comment